The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Unazidi kuwa mfupi kama unadaiwa aiseee au una kesi.Hivi mbona usiku ni mfupi namna hii
Utakua na rejesho wewe
😂😂😂 Kama Kuna kaukweli fulani hiviUnazidi kuwa mfupi kama unadaiwa aiseee au una kesi.

nlikua nawachora kama mnaeeza fika mda huu sion hata mmojaMbaya zaid muanzisha uzi nawengine wote kufika sa tisa hii mmekata motonlikua nawachora kama mnaeeza fika mda huu sion hata mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tumeshinda 💪niliangalia game la blues saa 1800 ilikuwa ngumu kumeza bado kidogo itoke.
Safar njema mkuu... Mola akutangulieOn ma way to Mbeya, may Jah bless.