The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
[emoji3][emoji3][emoji3]
Unazidi kuwa mfupi kama unadaiwa aiseee au una kesi.Hivi mbona usiku ni mfupi namna hii
Utakua na rejesho wewe3:02
Hv mbona mm silalag au machiz mmeniloga??? [emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Kama Kuna kaukweli fulani hiviUnazidi kuwa mfupi kama unadaiwa aiseee au una kesi.
Mbaya zaid muanzisha uzi nawengine wote kufika sa tisa hii mmekata moto [emoji1787][emoji1787]nlikua nawachora kama mnaeeza fika mda huu sion hata mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tumeshinda 💪[emoji38][emoji38][emoji38] niliangalia game la blues saa 1800 ilikuwa ngumu kumeza bado kidogo itoke.
Safar njema mkuu... Mola akutangulieOn ma way to Mbeya, may Jah bless.