Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
mm nimekilowanisha maji makusudi tu nataka kikauke ndio nilipie kodi.ha ha ha huu ni muda wa kulipa kodi ya kitanda mkuu
mm nimekilowanisha maji makusudi tu nataka kikauke ndio nilipie kodi.ha ha ha huu ni muda wa kulipa kodi ya kitanda mkuu
Nipo kwa mangi napiga machinyango adoado naisubiri saa tisabasi sababu ushaipata ukiwa humu.
Nimekuelewa mbona ndio maana nikasema ni coincidence tu nakutananazo tuSoma vizuri nilichoandika. Kwamba ikirushwa thread inayotaja neno chaputa mzee tayari ushafika.
Sent using Jamii Forums mobile app

nikatibu muenezi tu mm.Nimekuelewa mbona ndio maana nikasema ni coincidence tu nakutananazo tunikatibu mueneni tu mm.



umetisha mzee. NakusupportTupo pamoja arifu



support sitaki.mm ndio natakiwa kukupa support ww kwa juhudi zako ulizozifanya nje huko mpaka mnawekewa posters za kutoruhusu mambo muda wa kazi

Unazani nani atabaki mm ikifika saa 8 nalala mzee wangu.Oya nawaachieni lindo. Nina board sasa. Masaa zaidi ya 15 naenda kuelea angani
Sent using Jamii Forums mobile app