Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Hamida sio wakisport usisubutu kukutwa na visanga vyake unakuwa star ghafla unatrend world wide huko.
Hamida sio wakisport usisubutu kukutwa na visanga vyake unakuwa star ghafla unatrend world wide huko.
Hiyo nafasi inakufaa sana. Maana muda wote upo karibu na wajumbe. Tatizo likijitokeza upo faster kutoa ushauri. Nitakuwa mpiga debe wako.cut the crap, nataka nikuchukulie form ya uraisi kabisa unasemaje?
Noma sana.Hamida sio wakisport usisubutu kukutwa na visanga vyake unakuwa star ghafla unatrend world wide huko.
yaan uwecampaing manager wanguHiyo nafasi inakufaa sana. Maana muda wote upo karibu na wajumbe. Tatizo likijitokeza upo faster kutoa ushauri. Nitakuwa mpiga debe wako.
Sent using Jamii Forums mobile app


hiyo nafsi ni yakiongozi mng'ato tu.Jamaa ni mgombea mwenzayaan uwecampaing manager wanguhiyo nafsi ni yakiongozi mng'ato tu.



basi lazima awe rais anasupport kubwa sana ya wanachama nyuma yake.Baby, amekuja kunitoa lindoni jamani....nawaachia lindo mpambane wenyewe


leo we tamba tu ngoja aonezile text zako za michepuko.Halafu wewe uwe nani?basi lazima awe rais anasupport kubwa sana ya wanachama nyuma yake.
Mwanachama tu mdogo ww sindio waziri wetu wa mambo ya nje
ha ha ha,yupo hapa anajipitisha pitisha na taulo tu....ama kweli lindo gumu hilileo we tamba tu ngoja aonezile text zako za michepuko.
Nakataa. Kwa jinsi ulivyo active you deserve more than that. Halafu sijui umebofya kitufe gani? Maana ikitajwa tu lazima upate notification na faster unafika kutetea chama.Mwanachama tu mdogo ww sindio waziri wetu wa mambo ya nje
ha ha ha,yupo hapa anajipitisha pitisha na taulo tu....ama kweli lindo gumu hili


unaangaika tu huko saiz mm nateseka na hili joto acha tu.Karibu tuliendeleze lindoniBado sijapata sababu hasa ya kulala mapema...... Labda saa tisa hivi ntajaribu
ha ha ha huu ni muda wa kulipa kodi ya kitanda mkuuunaangaika tu huko saiz mm nateseka na hili joto acha tu.
Nakataa. Kwa jinsi ulivyo active you deserve more than that. Halafu sijui umebofya kitufe gani? Maana ikitajwa tu lazima upate notification na faster unafika kutetea chama.
Sent using Jamii Forums mobile app


ni coincidence tu kwani kuna tatizo nikikutag nikiona wanachama wanataka kukihama chama.Ukiona usingizi unaanza kupotea,jua ni dalili ya kuanza kuzeekaBado sijapata sababu hasa ya kulala mapema...... Labda saa tisa hivi ntajaribu
Bado sijapata sababu hasa ya kulala mapema...... Labda saa tisa hivi ntajaribu


basi sababu ushaipata ukiwa humu.Soma vizuri nilichoandika. Kwamba ikirushwa thread inayotaja neno chaputa mzee tayari ushafika.ni coincidence tu kwani kuna tatizo nikikutag nikiona wanachama wanataka kukihama chama.