Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Nakuambia tutakuokota mtaroni.msokoto wangu kama wa Jamaican nguo siwezi vua kwanza nataka nifanye application nije nipate shahada ya hii kitu hapo colorado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuambia tutakuokota mtaroni.msokoto wangu kama wa Jamaican nguo siwezi vua kwanza nataka nifanye application nije nipate shahada ya hii kitu hapo colorado.
Nipo Kay
Mzee baba jana nimekesha. Halafu nilikuwa nina safari saa 11. Kwa ajili ya mafua nikalala mapema. Ebana kushtuka saa 4. Sijalala tena muda wa kwenda airport. Naogopa hata kukaa karibu na watu wasije sema nitawaambukiza Corona virus.Acha mambo yako corona itoke wapi bhana pambana hayo mafua yaishe babu.
Aah wapi hii kichwa inaimili hiyo kitu sio tatizo kabisa 😂 Ila kwa hili jua la Dar hapana nikipiga nitakuwa na wenge tu.
Wewe sio fundi. Fundi tangu lini akachagua mzimu wa kuvuta?Aah wapi hii kichwa inaimili hiyo kitu sio tatizo kabisaIla kwa hili jua la Dar hapana nikipiga nitakuwa na wenge tu.
😂😂😂 piga mask tu mzee wangu 😷 alafu unafanya maajabu yako tu unafeli wapi?Mzee baba jana nimekesha. Halafu nilikuwa nina safari saa 11. Kwa ajili ya mafua nikalala mapema. Ebana kushtuka saa 4. Sijalala tena muda wa kwenda airport. Naogopa hata kukaa karibu na watu wasije sema nitawaambukiza Corona virus.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 dah nilikuwa na muhuni wangu skull bila kupiga hiyo kitu class aelewi kabisa hasa kwenye somo la maths.
Hata hizo mask nazitolea wapi. Nina tissue tu hapa nikitaka kupiga chafya ndio natumia. Kesho job lazima wanikimbie. Na boss wangu anafyopenda kunipiga mabusu lazima aniletee lawama.piga mask tu mzee wangu
alafu unafanya maajabu yako tu unafeli wapi?
Ila thibitisha kwanza kuwa hujawahi tumia mjani. Hayo mambo tuwachie sisi wataalam.dah nilikuwa na muhuni wangu skull bila kupiga hiyo kitu class aelewi kabisa hasa kwenye somo la maths.

kesho ndio utajua sasa kama anakupenda au akupendi.
Hata hizo mask nazitolea wapi. Nina tissue tu hapa nikitaka kupiga chafya ndio natumia. Kesho job lazima wanikimbie. Na boss wangu anafyopenda kunipiga mabusu lazima aniletee lawama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila thibitisha kwanza kuwa hujawahi tumia mjani. Hayo mambo tuwachie sisi wataalam.
Sent using Jamii Forums mobile app


eti nikuachie ww, mm kama mm situmii kilevi chochote kabisa yangu maji na juice tu hata soda sipendi.Yaani natamani hata nisiibuke mzigoni. Ngoja nitafute excuse. Uzuri tunaweza piga kazi remotely. Kikubwa ukamilishe kazi za watu on time. Hakuna kitu sipendi kama mtu ajue ninaumwa.kesho ndio utajua sasa kama anakupenda au akupendi.
eti nikuachie ww, mm kama mm situmii kilevi chochote kabisa yangu maji na juice tu hata soda sipendi.
Tafuta mask hiyo saiz kanunue hata itakusaidia kuficha.Yaani natamani hata nisiibuke mzigoni. Ngoja nitafute excuse. Uzuri tunaweza piga kazi remotely. Kikubwa ukamilishe kazi za watu on time. Hakuna kitu sipendi kama mtu ajue ninaumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona empty watu sioni wakifanya yao viti vyeupe hapo.Ni afadhali umekuwa ukweli. Ila unapitwa na mengi. View attachment 1354873View attachment 1354874
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo airport hapa hata hakuna mask. Labda nikifika kitaa. Ila wataogopa as if nipo kwenye operation ya tezi dume.Tafuta mask hiyo saiz kanunue hata itakusaidia kuficha.
Ila nataka nije nipate shot ya TAQUILA kidogoNi afadhali umekuwa ukweli. Ila unapitwa na mengi. View attachment 1354873View attachment 1354874
Sent using Jamii Forums mobile app

Hii VIP lounge haina watu wengi. Haya mafua nayapigia zile ngumu tu ili yakateMbona empty watu sioni wakifanya yao viti vyeupe hapo.