JamiiForums Usiku wa manane
Hiki kichwa sio GB ni TB acha uwoga naweza handle hilo balaa mzee
Mwenyewe nakwenda na vitu laini tu itakuwa ww
20200211_163245.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aah ndio nilitaka nishangae unalalamika vp kumbe umetaka kujimwambafy basi tulia acha kulia lia
Unafikiri nalialia mkuu. Nimempa kiroho safi. Ni muhudu wa hapa lounge. Kasema atakuja kunitembelea weekend moja. Nina hakika nitampikia kile chakula pendwa. Pia anapenda kutalii Africa. Nimemuahidi nitampelekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom