Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,526
- 27,561
Ha haaa ..Yupo na Hamida saizi huyo.
Hamida mtu mbaya sana.
Ha haaa ..Yupo na Hamida saizi huyo.
Baharia wa buza yupo hapo juu analalama ttcl wamemuibia..wamuonee huruma jamani..hamida kaporwa yeye na bado ttcl wamemuibia

Usiwe mbishi mwanamke chukua hayo maelekezo ni dawa ujue.
yupi huyo anayelalamika kuwa TTCL wamemuibiaBaharia wa buza yupo hapo juu analalama ttcl wamemuibia..wamuonee huruma jamani..hamida kaporwa yeye na bado ttcl wamemuibia
Sent using Jamii Forums mobile app


Dawa kwa asiyetaka kulala..Mimi nataka kulala.Usiwe mbishi mwanamke chukua hayo maelekezo ni dawa ujue.
..muda muafaka wa kunibembeleza nilale ndiyo huuEeh huyohuyo amecomment huko juuyupi huyo anayelalamika kuwa TTCL wamemuibia![]()
TTCL wamaeiba hela yangu


piga simu mzee wangu pambania hela yako hiyo.nilimuoma leo sijui kwenye uzi gani vile kisha ndio sijamuona tena unataka kubembelezwa saa 8 hii.Dawa kwa asiyetaka kulala..Mimi nataka kulala.
Dah drizzle hakuji tu,..muda muafaka wa kunibembeleza nilale ndiyo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema mzee uko na feel gud ww?Wazee wa usiku wa manane kwema?
Ndiyo..muda mzuri huu na kausingizi ka kubembelezwa kananoga muda huunilimuoma leo sijui kwenye uzi gani vile kisha ndio sijamuona tena unataka kubembelezwa saa 8 hii.
Ningekuwa na weza ningechukua hilo jukumu mm sasa unfortunately siwezi siko vzr sana huko.Ndiyo..muda mzuri huu na kausingizi ka kubembelezwa kananoga muda huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa na weza ningechukua hilo jukumu mm sasa unfortunately siwezi siko vzr sana huko.


wewe upo vizuri wapi eti
kwenye one on one katika 6 kwa 6.Aisee..hongera kwa Hilo..ila jitahidi ujue kubembeleza ili umpendae aenjoy full packagekwenye one on one katika 6 kwa 6.
Vyote vyote naweza niko 50-50 caring ndio niko 100% kushinda vyote.Aisee..hongera kwa Hilo..ila jitahidi ujue kubembeleza ili umpendae aenjoy full package
Sent using Jamii Forums mobile app