Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
huyu ni mr villa japo atabisha... aende hospital

mm jeshiii ww kama konde boy haendi mtu huko.huyu ni mr villa japo atabisha... aende hospital

mm jeshiii ww kama konde boy haendi mtu huko.Sijawai kukusalimia humu JF.
Kwema..za kwakoSijawai kukusalimia humu JF.
Kwema kabisa?
Hii inaitwa ME TOO EFFECT, nimekusalimia sababu mwamba Super Villain
Jana umeondoka bila hata ya kuaga bhana naona ghafla mtu hayupo nikajua umeshatepeta teyari huko.
Jana hata mwenyewe sijui ilikuwaje..nimekuja kushtuka saa mbili asubuhi.Jana umeondoka bila hata ya kuaga bhana naona ghafla mtu hayupo nikajua umeshatepeta teyari huko.
Jana hata mwenyewe sijui ilikuwaje..nimekuja kushtuka saa mbili asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app


harakati zako zote zile za kutaka kufunga geti jana ziliyeyuka na hatimaye ukafungiwa lindoni kabisa.Mimi sio mzima nasumbuliwa na Insomnia.
harakati zako zote zile za kutaka kufunga geti jana ziliyeyuka na hatimaye ukafungiwa lindoni kabisa.


Yani acha tu..naona ulifunga lindo peke yako janaMimi sio mzima nasumbuliwa na Insomnia.
Sitaki uswahili wa kujibu kwema wakati kuna shida.
Unakuta mtu anaulizwa habari?
Anajibu nzuri, kisha baadae anasema leo naumwa sana sijatoka ndani!!!
Au unaulizwa mambo unajibu safi/poa huku hauna pesa mfukoni.



wewe bwan..nimecheka khaa!! Ila umesema ukweli mtupuSina hata manati mkuu nimejibu tuNikajua una gobole mzee wangu![]()


nikaona isiwetabu nikaaga zangu mm nazani maombi yangu yalikukutia ndotoni huko.Sina hata manati mkuu nimejibu tu
Sent using OPPO Mobile Phone


basi subiria kupewa kichapo na wahuni mzee wangu.Kwakweli yalinikutia ndotoninikaona isiwetabu nikaaga zangu mm nazani maombi yangu yalikukutia ndotoni huko.
Leo kunywa kabisa kahawa sasa iliufunge geti.
Haha..hunitakii mema wewe..ungejua navyoutaka usingizi usingenambia mambo ya kahawa.Leo kunywa kabisa kahawa sasa iliufunge geti.
Haha..hunitakii mema wewe..ungejua navyoutaka usingizi usingenambia mambo ya kahawa.
Sent using Jamii Forums mobile app


sasa dawa ya moto si moto au?Yupo na Hamida saizi huyo.simiss mbona kimya ndio gari lishazima tayari?