simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Mayoung wanameza viagra !!!!Niliona vijana wa kivukoni tu wakimeza Viagra na walitaka kunipa nikakataa kabisa.

... af walitaka kukupa bila kujua kuwa ni crew moja mkuu 

Mayoung wanameza viagra !!!!Niliona vijana wa kivukoni tu wakimeza Viagra na walitaka kunipa nikakataa kabisa.

... af walitaka kukupa bila kujua kuwa ni crew moja mkuu 

Watakunya Viagra kwanjia nyingine bila kupenda wakifika miaka 40 kazi hakuna tena naHata alkasusu naskia jamaa wanaiwekea pia maana watu washakariri inaboost nguvu
Hizi nguvu zitakuja kutuua walahi

wajinga sana walitaka kunibadilishia mfumo kizembe sana vijana wa kivukoniMayoung wanameza viagra !!!!... af walitaka kukupa bila kujua kuwa ni crew moja mkuu
![]()

Uliwauliza walikuonaje mzeewajinga sana walitaka kunibadilishia mfumo kizembe sana vijana wa kivukoni![]()

isijekuwa unawalaumu bure kumbe walitaka kumsaidia brotherUnaona shida hyo yani hatari.Hata alkasusu naskia jamaa wanaiwekea pia maana watu washakariri inaboost nguvu
Hizi nguvu zitakuja kutuua walahi
Uliwauliza walikuonaje mzeeisijekuwa unawalaumu bure kumbe walitaka kumsaidia brother
Tatizo letu ni wepesi sana kuamini vitu vya ajabu ajabu tu bila hataya kujiuliza.
Si ndo hapo mkuu.Tatizo letu ni wepesi sana kuamini vitu vya ajabu ajabu tu bila hataya kujiuliza.
Acha watu wakakomeshe.. siku ukikutwa na bwana pepsi unaonekana wa kawaidaAah ndugu yangu mapenzi ya kukomeshana mm siyawezi mtu anasindilia na vidonge utazani anaenda kucheza blue movie bhana.
Tunapoelekea ndio tatizo linazidi kuwa kubwa.Si ndo hapo mkuu.
Dawa hasa haitibu hapo hapo.
Dawa ni mfumo ila haya madudu haya dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha watu wakakomeshe.. siku ukikutwa na bwana pepsi unaonekana wa kawaida


dah simekuwa speech less kwa kweli.Baridi inatoka wapi tena hiyo mm nipo na fen inapepea tu kwa hili joto.
Wakuu ngoja niangushe gari..kesho nayo siku
Brother villa.. cheki PM

Unalala ili iwejeWakuu ngoja niangushe gari..kesho nayo siku
Brother villa.. cheki PM
Ooooh npo Ar chuga aisee ni shidaaaaBaridi inatoka wapi tena hiyo mm nipo na fen inapepea tu kwa hili joto.


huko we pambana na kahawa tu saiz.huko we pambana na kahawa tu saiz.



aiseee Mungu fundi kwa hii baridi ni nomaAu umetafuna gomba? umeshakosa usingi teyari ww maana huko hamkawii.