Msimamo ni ule ule, na mimi kazi yangu niliimaliza. Kama ulifatilia utaona mjadala nilivyo umaliza.Mlifikia wapi?
Msimamo ni ule ule?
Msimamo ni ule ule, na mimi kazi yangu niliimaliza. Kama ulifatilia utaona mjadala nilivyo umaliza.Mlifikia wapi?
Msimamo ni ule ule?
Sawa.Tukalale
Hivi sasa ni saa sita na dakika 16 ni siku mpya ya ijumaa.
Nimekesha leo kwa ssbabu kukesha maana yake ni siku ya zamani na mpya zikukute ukiwa macho.
Na mimi niko macho tokea jana.
Naomba kuwasilisha kwenu kwa wote waliokesha kama mimi tia like tuonane popo wenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona upo kazini broWalinzi wenzangu kuna mtu labda alishawahi zimia maybe hata siku moja au ilishawahi mtokea zaidi ya mara 2 nk.. hv?
kuna kitu nataka nimuulize kama anaogopa kusema hapa anifuate hata dm basi.
Hivi sasa ni saa sita na dakika 16 ni siku mpya ya ijumaa.
Nimekesha leo kwa ssbabu kukesha maana yake ni siku ya zamani na mpya zikukute ukiwa macho.
Na mimi niko macho tokea jana.
Naomba kuwasilisha kwenu kwa wote waliokesha kama mimi tia like tuonane popo wenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu nsons umefurahi kwa nini?
Karibu mkuu
Nimeangalia avatar yako imejaa hatari mkuuMkuu nsons umefurahi kwa nini?
Nashkuru nimefika.
Huku mimi natembeleaga usiku tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nsons umefurahi kwa nini?
Nashkuru nimefika.
Huku mimi natembeleaga usiku tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio vitu vyako hivyo?Nimeangalia avatar yako imejaa hatari mkuu
Sote tupo lindoni sema wengine pumzi fupi kiasi
we mzee mbona unarudisha masaa nyuma tena au ndio upo tinga?
Ahhh mkuu hapana asee....Ndio vitu vyako hivyo?