MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,168
- 3,304
Braza kitu mwake sana hiiuroho mbaya sana dah popo kachemshwa huku anatabasamu tu.
Braza kitu mwake sana hiiuroho mbaya sana dah popo kachemshwa huku anatabasamu tu.
Mpiga banana haiwezi hii ina nguvu sana
Njaa sio kitu poa kabisa aah watu wanakula tu.
Huyo mnyama ananuka kinoma unawezaje kula.Braza kitu mwake sana hii
Kwanza nikiona chakula sikielewi elewi, siliHuyo mnyama ananuka kinoma unawezaje kula.
AnanukiaHuyo mnyama ananuka kinoma unawezaje kula.
Bora ww unaexprience ya za migahawa mzee ukipewa menu hubabaiki lakini sie unaweza agiza kitu cha ajabu.
Halafu nimeshtuka kitu hawa wapika supu ya mbuzi huwa wanatia KONYAGI ili iive vizuri.
Ndo maana hata ambaye sio mpigaji vitu akili inaharibika tuu


hulikuwa hujui hii kitu loh.Alipost Drizzle I'm not sure ile breaking news ulipost kuwa cocaine ni cure ni seriously issue kweli.Wakuu ugonjwa wa corona si kitu cha kukifanyia mzaha.. Watu wanaanguka na kufa papo hapo..
Ukisalimika kwa ma ntilie nyumbani hukwepi dawa na mdada wa kazi....ukisalimika hapo hukwepi limbwata la wife....taabu tupuhulikuwa hujui hii kitu loh.
Ukisalimika kwa ma ntilie nyumbani hukwepi dawa na mdada wa kazi....ukisalimika hapo hukwepi limbwata la wife....taabu tupu


utachagua sasa mwenyewe wapi uelekee.Mkuu umechanganya nyuziiAlipost Drizzle I'm not sure ile breaking news ulipost kuwa cocaine ni cure ni seriously issue kweli.
Hamna kitu mzee. Unaweza kuta jina la menu hujawahi sikia. Nikiwa na mwenyeji namuuliza hii ni msosi gani kabla sijajingia mkengeBora ww unaexprience ya za migahawa mzee ukipewa menu hubabaiki lakini sie unaweza agiza kitu cha ajabu.
Hata utumbo nasikia wanatupiaga na nyagi mixer yokozunaHalafu nimeshtuka kitu hawa wapika supu ya mbuzi huwa wanatia KONYAGI ili iive vizuri.
Ndo maana hata ambaye sio mpigaji vitu akili inaharibika tuu
We jamaa lazima umetepeta muda huu. Jogoo washawika wewe ndio unalalautachagua sasa mwenyewe wapi uelekee.