Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,577
- 5,780
Usicheke mKG ..ndio hali halisi. Sometimes unahisi harufu ya moshi kwenye pua yaani moyo unaungua ndani kwa ndani![]()





Sent using OPPO Mobile Phone
Usicheke mKG ..ndio hali halisi. Sometimes unahisi harufu ya moshi kwenye pua yaani moyo unaungua ndani kwa ndani![]()





Acha kulia lia... andaa mazingira tuje kupata kazi na madogo wakuone proud dadMzee huo mlima sio mchezo mzee wangu acha tu.


Sina ugomvi na yoyote nilikuwa nakueleza nilipo kwa kapicha. Kwani kuna ubaya mzee?
Kwani mkuu una ugomvi na prince of dar
Mimi pia sipendi kila mara ila nikifika sehemu inayohitajika shangwe kama kwenye mnuso wa villain af iwe zzzzzz.. huwa naboreka kiasi


muhuni bado umekazia tu huo mnuso dah yaan umeshikilia kabisa hili bango wallah.. 
Ni kweli inategemea na tukio na mood pia.Mimi pia sipendi kila mara ila nikifika sehemu inayohitajika shangwe kama kwenye mnuso wa villain af iwe zzzzzz.. huwa naboreka kiasi
Shukrani mkuu. Inabidi sometimes tupambane ili kujiokoa maana wengi hatujui kesho yetu mzee.Thats the spirit mkuu wangu... all the best kaka
Aaah kabisa hilo jambo muhimu sana dude.Inabidi uwe na back up plan
Mwamba unavuta jiko?muhuni bado umekazia tu huo mnuso dah yaan umeshikilia kabisa hili bango wallah..
![]()


Kitambo sana. Sasa hivi najimwambafy tu hadi mika 10 ijayo naweza kuwa labda raia wa nchi nyingine. Ukipata fursa usiichezee mzee baba.mwamba kwanza unayo pass hii ya electronic? Nakuaminia utapambana maana ngozi nyeusi ujue zinapambana.
Acha kulia lia... andaa mazingira tuje kupata kazi na madogo wakuone proud dad![]()


dad tena baba ako ata ya kusingiziwa sijawahi kupata.Sikuwa serious mkuu.. nilitania kutokana na saga linaloendelea tuSina ugomvi na yoyote nilikuwa nakueleza nilipo kwa kapicha. Kwani kuna ubaya mzee?
Sent using Jamii Forums mobile app
muhuni bado umekazia tu huo mnuso dah yaan umeshikilia kabisa hili bango wallah..
![]()



wake up call 

Usicheke mKG ..ndio hali halisi. Sometimes unahisi harufu ya moshi kwenye pua yaani moyo unaungua ndani kwa ndani![]()


dah umenikumbusha mbali ww secondary nilikuwa napita pale high class hotel wale wadada walikuwa nyoko kweli yaan wanapika acha unapita nje lakini hiyo harufu ni laana harafu mfukoni sina jambo baharia.Ni kweli mkuu.. ni ngumu lakini ndio kitu sahihi cha kufanyaShukrani mkuu. Inabidi sometimes tupambane ili kujiokoa maana wengi hatujui kesho yetu mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa mkuu, wala usijali. Hapa ni sehemu mojawapo ya kujokes na kufurahi na online friends ukizingatia maeneo niliyopo ni kazi kazi. Nikiwa hapa narelax kimtindoSikuwa serious mkuu.. nilitania kutokana na saga linaloendelea tu
Anataka kunipa wenge tu huyo hanitakii mema wala nn yy mindset yake imetune kwenye menu tuMwamba unavuta jiko?
Sent using OPPO Mobile Phone



Ndo utapata na kama unapenda zaidi za kusingiziwa pia zipo. Muombe Mungu tu na UPIGE KAZIdad tena baba ako ata ya kusingiziwa sijawahi kupata.


Kabisa kabisa. Maisha ni mapambano mzee. Yatupasa kupambana hadi siku ya kuingia kaburini ndio uta rest in peaceNi kweli mkuu.. ni ngumu lakini ndio kitu sahihi cha kufanya
Sure, Na bro wangu yupo China toka 2012.Kitambo sana. Sasa hivi najimwambafy tu hadi mika 10 ijayo naweza kuwa labda raia wa nchi nyingine. Ukipata fursa usiichezee mzee baba.
Sent using Jamii Forums mobile app