JamiiForums Usiku wa manane
Usicheke mKG ..ndio hali halisi. Sometimes unahisi harufu ya moshi kwenye pua yaani moyo unaungua ndani kwa ndani
dah umenikumbusha mbali ww secondary nilikuwa napita pale high class hotel wale wadada walikuwa nyoko kweli yaan wanapika acha unapita nje lakini hiyo harufu ni laana harafu mfukoni sina jambo baharia.
 
Back
Top Bottom