Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
mm nawajua watu humu ww acha tu nikituma screen shot ya pm yangu mtakimbia humu woteTulia... Hakuna kitu zaidi..villain asikutishe



mm nawajua watu humu ww acha tu nikituma screen shot ya pm yangu mtakimbia humu woteTulia... Hakuna kitu zaidi..villain asikutishe



Subiri nitakuja ila uweke na fanta orange pembeni


Kule jamii intelligence usingekuepoBinafsi sipendi kuumiza kichwa kwenye mambo magumu. Nimeshindwa
Mimi nikija nigeie hilo dude..nijaribu
Hata mm. Kuna Choir naangalia hapa zikiisha nalalaWadau nakaribia kuangusha gari
Usitutishemm nawajua watu humu ww acha tu nikituma screen shot ya pm yangu mtakimbia humu wote![]()
Nimeshangazwa umeweza sustain vp kwa hiyo miaka 5 umri wako mbona mm sikuumiza Kichwa nilijua toka mwanzo na nilipost ile 93 ilikuwa ni frek sikutaka kujata sahii kabisaBhasi bado hujajua umri wangu sahihi maana sio kitu cha kushangaza![]()
Nabahatisha tu..Kule jamii intelligence usingekuepo
Mm napenda sana sasa mchezo wa kucheza na akiliBinafsi sipendi kuumiza kichwa kwenye mambo magumu. Nimeshindwa


Nimeshangazwa umeweza sustain vp kwa hiyo miaka 5 umri wako mbona mm sikuumiza Kichwa nilijua toka mwanzo na nilipost ile 93 ilikuwa ni frek sikutaka kujata sahii kabisa


pengine nna maajabuwewe tu hata ukitaka nashera..ila utalipia bills


ndio viwanja vyako hivyo tukutane flomi pale basi.False call.. unaibiwa
Hiyo tu fanta utaikuta mpaka nyeusi usijali sawaSubiri nitakuja ila uweke na fanta orange pembeni
Lucky star ..mzee mm sio fortune teller

Af kingine huwa sipendi tu kufuatilia vitu.. kwa mfano naeza angalia type of songs unazipenda.. namaanisha zile urban hits, kind of movies na lifestyle yako nikajua tu range ya umri wakoNimeshangazwa umeweza sustain vp kwa hiyo miaka 5 umri wako mbona mm sikuumiza Kichwa nilijua toka mwanzo na nilipost ile 93 ilikuwa ni frek sikutaka kujata sahii kabisa
Usijali ninazo 3 tofauti lakini ww nitakununulia mpya yako kwenye kipacti chake kabisa usiwaze.Mimi nikija nigeie hilo dude..nijaribu
ndio viwanja vyako hivyo tukutane flomi pale basi.


huko sehemu za wazito.. nyumbani park niajeHahahaaa aiseee..Usijali ninazo 3 tofauti lakini ww nitakununulia mpya yako kwenye kipacti chake kabisa usiwaze.