JamiiForums Usiku wa manane
True bro thou early years of my life nilikuwa village ingawa sikuwa katika umri wa kujitambua tu
Ukijua TV zimeingia lini bongo basi age ya huyu kijana hupati shida hapa ndipo napozidi jidhihirishia jibu langu ni sahii
 
Dahhhhh huyo hapana.. ni tatizo.. elfu 30.. kwa siku alikuwa analala na wangapi na bila shaka atakuwa mtu wa madini au usafirishaji
Ni clip fulani hv ilipostiwa na TMZ last year mwana mmoja akifanya interview na redio 96.
 
Back
Top Bottom