Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Hiyo tu fanta utaikuta mpaka nyeusi usijali sawa![]()


sawa mkuu au kaka mkubwa ..maana leo umejua range ya age yangu umefurahiiiipengine nna maajabu


huna maajabu ukitaka kucheza michezo hii lazima uwena kumbukumbu nzr labda nikuongezee kitu kwenye ulaji penda kula biringanya sana.Na nyanya chungu siohuna maajabu ukitaka kucheza michezo hii lazima uwena kumbukumbu nzr labda nikuongezee kitu kwenye ulaji penda kula biringanya sana.


Huko utafail sasa hutoweza maana music nasikiliza sana kuanzia za 90 kuja juu mpaka sasa. Movie huto weza utafail cheza na nyimbo kama unaweza babu.Af kingine huwa sipendi tu kufuatilia vitu.. kwa mfano naeza angalia type of songs unazipenda.. namaanisha zile urban hits, kind of movies na lifestyle yako nikajua tu range ya umri wako
huko sehemu za wazito.. nyumbani park niaje


nyumbani paki aah laana nyingi siwezi pale bora nashella.Hatuja pishana sana labda ni wadokezee tusawa mkuu au kaka mkubwa ..maana leo umejua range ya age yangu umefurahiiii

Biringanya inafanya uwena kumbukumbu nzr hii sitoi mdomoni Dr anasisitiza hili kama unawadogo zako wanasoma nk wapatiage hiyo kitu itawasaidia.Na nyanya chungu sio![]()
Gud vp Joyner Lucas.Niaje humu mjengoni?
Hahaahaaa mchizi unazingua ujue?Gud vp Joyner Lucas.