JamiiForums Usiku wa manane
Af kingine huwa sipendi tu kufuatilia vitu.. kwa mfano naeza angalia type of songs unazipenda.. namaanisha zile urban hits, kind of movies na lifestyle yako nikajua tu range ya umri wako
Huko utafail sasa hutoweza maana music nasikiliza sana kuanzia za 90 kuja juu mpaka sasa. Movie huto weza utafail cheza na nyimbo kama unaweza babu.
 
Back
Top Bottom