JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Siyo kwamba Nida watafunga,zoezi ni endelevu la usajili....,kilichofanya hali kuwa ilivyo sasa ni namba yao kutumika kwa passport ambayo deadline ni Jan 31 na line za simu Jan 20
Ahaaa ila tatizo lilikuwa kwa namba za zamani. Watu wengi tulihofia procedures ambazo zingewekwa baada ya kufungia
 
Ahsante mkuu af raha yake ni kubwa kama kushinda biko. Maana wanatest inakata maana mtandao ulizidiwa ao ikikubali kuna raha flani hivi [emoji23]
Daah aisee,line zangu nilizisajili siku ya pili baada ya zoezi kufunguliwa na kampuni za simu pale mlimani city na vodacom nilikuta mmoja anasajili,Airtel sikukuta mtu na tigo nilikuta wanne tu......
 
Back
Top Bottom