Na Kibondo nimepita last week niliyaona pia.Nilikuwa nataka upite hapa .....ndio maana nikajibu vile.
Asante kwa Kuwakilisha....![]()
Pamoja kiongozi.
Sipo huko bahati mbaya.. ila tutawasiliana mkuu maana vitu hizo zinatukumbusha mbali. Ng'wanza, ndugu walikuwa wakitoka tabora wanatuleteaKama upo Moro/Mbeya nikiwa natoka huku niagize nikuletee mkuu.
Sent using OPPO Mobile Phone
kwani mm niko wapi? Poa App?
Umenikumbusha mbali sana...


Na Kibondo nimepita last week niliyaona pia.
Sent using OPPO Mobile Phone
Sijui....
Ila ni kweli kuna mtu nilimwambia pale akusaidie..iwapo ungesisitiza




aah wapi acha uwongo wako hapa.Kuna mtu nilikuwa namfahamu anaweza kukaa zaidi ya wiki hajalala wakati mwingine mpaka wiki mbiliHapana hajawa addict, kuna mkaka alikuwa mgonjwa haswa....kwa sasa amepona....alikuwa halali Siku 4.
Nashukuru Mungu alikuja kupona
aah wapi acha uwongo wako hapa.
Kuna mtu nilikuwa namfahamu anaweza kukaa zaidi ya wiki hajalala wakati mwingine mpaka wiki mbili
Ukimuangalia unamuonea huruma maana yupo kama teja pia alikuwa akitumia sana tambuu
Utajiri aliokuwa nao ndio ulikuwa unamfanya akose usingizi.
Matajiri wengi huwa hawalali vizuri
Huyu alikuwa hatumii kilevi...maisha tu na shule(chuo) ndio vilikuwa vinamkosesha usingizi.
Na alikuwa mchangiaji Mzuri sana jukwaani .
Shule haikumsaidia kutoa ujinga huyo?
Huyo ashukuru sana kwa kutokuwa na utumiaji wa vilevi au kuathiriwa na madawaHuyu alikuwa hatumii kilevi...maisha tu na shule(chuo) ndio vilikuwa vinamkosesha usingizi.
Na alikuwa mchangiaji Mzuri sana jukwaani .
Umenikumbusha mbali sana...

ashukuriwe ronny kwa kunikumbusha hiyo kitu. Ilikuwa nzuri sanaMkuu sio ujinga, dunia ina mapito kibao omba yasikukute tu.Shule haikumsaidia kutoa ujinga huyo?