JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mkuu sio ujinga, dunia ina mapito kibao omba yasikukute tu.

Sent using OPPO Mobile Phone
Acha tunaishia kulaumu impact tu. Kuna mtu ambaye watu walikuwa wakimuona kama mkatili na mkorofi tulipokuwa O'level ila akatokea kuniamini. Siku alinifungukia issues zake nikaona watu wanamuhukumu bure na ndo rafiki yangu mkubwa hadi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu nilikuwa namfahamu anaweza kukaa zaidi ya wiki hajalala wakati mwingine mpaka wiki mbili

Ukimuangalia unamuonea huruma maana yupo kama teja pia alikuwa akitumia sana tambuu
Utajiri aliokuwa nao ndio ulikuwa unamfanya akose usingizi.

Matajiri wengi huwa hawalali vizuri
Ukifikiria business na roho yako kusakwa huwezi lala kwa raha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapito hayo mbona ni mazuri mzee kuna watu wanapitia nyakati ngumu ww huyo anachat humu anafurahia kabisa mnasema nimapito magumu kweli?
Hapana bro kila mtu ana njia za kutoa stress. Huyo mtu possibly alikuwa ana mavitu kichwani ila hakuweza kujua pa kuyatolea tu. Hii dunia ina vingi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tunaishia kulaumu impact tu. Kuna mtu ambaye watu walikuwa wakimuona kama mkatili na mkorofi tulipokuwa O'level ila akatokea kuniamini. Siku alinifungukia issues zake nikaona watu wanamuhukumu bure na ndo rafiki yangu mkubwa hadi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu wengi huwa tunahukumu pasi na kujua kwa nini huyo mtu yuko hivyo, wengi tuna/wana pitia magumu ni vile watu wengine huwa hawaelewi kumchukulia mtu alivyo.

Sent using OPPO Mobile Phone
 
[emoji419][emoji419][emoji419] tutawekana sawa kwenye hili vzr.
Sio kila anaechati humu mambo yake ni rahisi mkuu, wengi tunatafuta faraja walau tucheke tu au tupate wa kutujibu tu.

Sent using OPPO Mobile Phone
Hapana bro kila mtu ana njia za kutoa stress. Huyo mtu possibly alikuwa ana mavitu kichwani ila hakuweza kujua pa kuyatolea tu. Hii dunia ina vingi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu wengi huwa tunahukumu pasi na kujua kwa nini huyo mtu yuko hivyo, wengi tuna/wana pitia magumu ni vile watu wengine huwa hawaelewi kumchukulia mtu alivyo.

Sent using OPPO Mobile Phone
True sema inabidi upate emotional support kwa mtu unayeweza kumuamini so baadhi huwa wanachat jf maana ID hazijulikani hivyo inakuwa safe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom