Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Ego & self esteem ni tatizo
kumbe na ww ulishanote hiko kitu.
kumbe na ww ulishanote hiko kitu.
Hilo tatizo sio lako pekeyako mzeeTrue.. Nitakaa sawa ila nitakuwa nakuja humu kama kawaida maana ni popo pasee
Sent using Jamii Forums mobile app


We ungeweza kuvumilia matusi?
Hakuna tatizo Kiongozi.
Hata siyajui...nawezaje kuyavumilia



acha uwogo we mwanamke matusi huyajui ww.Kwahiyo unapendekeza tutoe somo la life skills bibieEgo & self esteem ni tatizo




Ukizoea levels unaziona za kawaida. Wanaofake wengi ni wale wanaowish kupata hiyo life
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuiga ni shida kiukweli. Utajaribu kufit in tuKama hauna ndio unatakiwa upambane sasa iliuwenacho ukiiga utapoteza muda na hela zako tu.
Kuiga sio kitu kibaya lakini kama utaiga kzr ambacho kinafaida kwako.


kawaida haya mambo dude.Kwahiyo unapendekeza tutoe somo la life skills bibie![]()
"Wanna be" ni bonge la tusi na Dsm watu wanafanya issue za ajabu ili waende na trends. Trends ambazo hazidumu hata mwakaVery true.
"Wanna be"
Umesema hutovumilia sasa unawezaje kujua kama hili nitusi sasaKweli siyajui.....
![]()



Aah vibaya hivyo unafanya ujue.Hapana....kila mtu atajifunza kivyake
Unaweza fake ili mishe ziende ila kutengeneza image ili ukubalike na class flani ni kisanga budaaKuiga sio kitu kibaya lakini kama utaiga kzr ambacho kinafaida kwako.
Sio poa. Nitatoweka kama Nsyuka, subiri hahaaaakawaida haya mambo dude.
Tutakujuaje sasa kama usipotufanyia vitu vya ajabu treands kuna baadhi ya watu wanazipenda Sana."Wanna be" ni bonge la tusi na Dsm watu wanafanya issue za ajabu ili waende na trends. Trends ambazo hazidumu hata mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app