Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Ila tuacheni utani kama mtu hujawahi kunywa kahawa usiku usijaribu.
Nisamehe mah sikuliona hao ni bata wanauzwa 150k kwa bata1
Wanaladha ya uyoga tu wale.
Tatizo lako umekunywa nyingi wwIla tuacheni utani kama mtu hujawahi kunywa kahawa usiku usijaribu.




Uyoga unapatukana wapi niule jaman naskia ni mtamu balaaWanaladha ya uyoga tu wale.
Nenda mbagara hukoUyoga unapatukana wapi niule jaman naskia ni mtamu balaa
Uyoga unapatukana wapi niule jaman naskia ni mtamu balaa
Tausi analiwa kumbeHv wale tausi wa ikulu hawawachinjagi kweli kipindi kama hk?



Nenda chooni sasa.yani tumbo linalia krr na leo sina ujanja
Kwann asiliwe?Tausi analiwa kumbe![]()
Mbagala siparlewagi mm taja kwingine basi na unaandaliwaje nipp siriazi ujueNenda mbagara huko

Njaaa sio nnya wwNenda chooni sasa.
Mm hua na hisi ni urembo eti sijawahi skia analiwa ndo maanaKwann asiliwe?
Naomba basi sijawahi fanikiwa kuuula toka najitambuaKwetu upo, mama anapika mara moja moja
Kwani mm naecti hapaMbagala siparlewagi mm taja kwingine basi na unaandaliwaje nipp siriazi ujue![]()

Tafuta kiporo kwenye fridge huko.Njaaa sio nnya ww
Ss mbagala mm sipaelew kiivyo taja soko rahisi ambalo kila mtu anafikaKwani mm naecti hapa![]()