Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Analiwa vzr tu kama kunguru analiwa atakuwa huyo.Mm hua na hisi ni urembo eti sijawahi skia analiwa ndo maana
Analiwa vzr tu kama kunguru analiwa atakuwa huyo.Mm hua na hisi ni urembo eti sijawahi skia analiwa ndo maana
Kiporo sina mwanangu usiku nimekula bondo utafkiri nmezaliwa usukumani yaniTafuta kiporo kwenye fridge huko.
Kabisa true trueI have been told that beauty is the great seducer of men.
Uyoga vp ss lknWakuu mlale salama
Sio hata watamu hao.
Umekula sembe ww?Kiporo sina mwanangu usiku nimekula bondo utafkiri nmezaliwa usukumani yani
Ahsante, unikaribishe tuu.
Nawe pia.Wakuu mlale salama
Ndio napenda kinoma yaniUmekula sembe ww?
Amen, haya.Siwezi kuacha, tuombe afya njema
Usijali, nishapata jibu. AsanteeeNisamehe mah sikuliona hao ni bata wanauzwa 150k kwa bata1
Kama upo dar
Nenda kijiji cha makumbusho nje banda linaangaliana na tigo kuna rasi anauza
Au mbagala sokoni masoko yote ma2 angalia
Mtaani pia kuna watu wanauza ila bei ndo hizo kuanzia 120k
OkyUsijali, nishapata jibu. Asanteee
Makumbusho napafahamu nitajaribu.
Ila tuacheni utani kama mtu hujawahi kunywa kahawa usiku usijaribu.
Sili mm hiyokitu nataka dona tu.Ndio napenda kinoma yani
Hili swali kwaninni umeliuliza hapa Ronny? 😀 😀Una kilo ngapi kwani?
wanamke mroho ww.
No, I'm not sure about that.An ignored blessing might become a curse.
Utamla leo ndoto usijali.Niache bana, ndoto zangu hizo