JamiiForums Usiku wa manane
Hahahaha ilikuaje ya sister
Aah picha limeanza tumeenda kanisani saa 8 tumetoka nikajua tunaenda ukumbini maana mm nikasema mbona church mapema sana leo basi tumetoka church bhana tukaenda location kupiga picha tu basi tukatoka hapo tukaenda nyumbani kwa mume tukala sana kuku na makolokolo mengine ukapigwa sana mziki hapo nje hapo baada ya hapo ndio tumeenda ukumbini bibi harusi kaingia saloon mara 2 na gauni kabadili mara 2 ndio sheria zao. Goddess
 
Aah picha limeanza tumeenda kanisani saa 8 tumetoka nikajua tunaenda ukumbini maana mm nikasema mbona church mapema sana leo basi tumetoka church bhana tukaenda location kupiga picha tu basi tukatoka hapo tukaenda nyumbani kwa mume tukala sana kuku na makolokolo mengine ukapigwa sana mziki hapo nje hapo baada ya hapo ndio tumeenda ukumbini bibi harusi kaingia saloon mara 2 na gauni kabadili mara 2 ndio sheria zao. Goddess
Wanapesa basi sheria bila pesa haiendi
 
Back
Top Bottom