JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Namkumbuka,yule ni balaa
Kim ung-yong ambae aliweza kuongea lugha 4 alipokua na miaka 2, aliweza kufanya hesabu za aljebra akiwa na miaka 3, alialikwa wanafunzi wa fizikia chuoni alipokua na miaka 4, alialikwa Marekani kwenye kitengo cha NASA akiwa na miaka 7, alipata PHD yake akiwa na miaka 15, alikua na IQ ya 210.
C&P
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah umenichekesha sana. Kwahiyo wanaume wapo buza na kwingineko?
Buza kuelekea goms,chanika,Mkuranga huko........wale unaowaona na baiskeli za mkaa na mayai wakipiga pedal za baiskeli wale wale huku katikati ni al kasusu na juice ya muwa
 
Back
Top Bottom