Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Wananiachaga hoi ukiuliza budget ya movie utasika 50M Tsh 😂😂😂Wanaweka beat dk15 kwenye hio 30mnts![]()
Wananiachaga hoi ukiuliza budget ya movie utasika 50M Tsh 😂😂😂Wanaweka beat dk15 kwenye hio 30mnts![]()
Enzi zile utt za kanumba unakuta wenzio washafata ma cd wanatoa cable wanaweka cdulijuaje sasa unasema ujawahi kuziona movie zao?


si unajua kabla ya ving'amuzi kulikua na cable?!Budget zao m2, m1Wananiachaga hoi ukiuliza budget ya movie utasika 50M Tsh![]()



m50 yakuchora labdaNaweza kusema angalau pale wamejitahidi sana hasa kwenye sound sio kama zile unasikia upepo upepo na wameweka sound trucks za kueleweka, alaf mazingira na reality like wameonesha nyumba toka inaanza kujengwa na baadae ikabomolewaBongo movie sijawahi angalia pakuzidownload hakuna na sizielewi kama nollywood tu
Vp ni nzuri?!
Najua kuna mahali mpaka leo wanatumia cable.Enzi zile utt za kanumba unakuta wenzio washafata ma cd wanatoa cable wanaweka cdsi unajua kabla ya ving'amuzi kulikua na cable?!
+blackpanther jamaa movie zake zinaongoza kwa mauzoDavid Cameron..notable works.
Acha ubishi...
- Titanic
- Avatar
Tatizo ambalo mm Bongo movie wananikela wanashindwa kumalizia story mwisho tu ndio tatizo lao.Naweza kusema angalau pale wamejitahidi sana hasa kwenye sound sio kama zile unasikia upepo upepo na wameweka sound trucks za kueleweka, alaf mazingira na reality like wameonesha nyumba toka inaanza kujengwa na baadae ikabomolewa
Inapatikana wapi tuisakeNaweza kusema angalau pale wamejitahidi sana hasa kwenye sound sio kama zile unasikia upepo upepo na wameweka sound trucks za kueleweka, alaf mazingira na reality like wameonesha nyumba toka inaanza kujengwa na baadae ikabomolewa
Sio kweli Avanger Endgame ndio muvi iliyoingiza pesa ndefu kuliko muvi yoyote ile duniani...Baada ya kumtoa Avatar
Yes halafu ni cheap chanel kibao mpaka wivuNajua kuna mahali mpaka leo wanatumia cable.
Ni ya nchi gani maana hata hiyo rate hapo 7.1 nikubwa mno
Seen online naweza ipata?!
Sawa, Tumekuelewa
Hauna hata karungu ?!With my big torch, Leo nami nipo zamu
Moro wanatumia sana hiyo kitu.Yes halafu i cheap chanel kibao mpaka wivu
Rate siiamini aminiNi
Ni ya nchi gani maana hata hiyo rate hapo 7.1 nikubwa mno
Moro wanatumia sana hiyo kitu.
mikoa karibia yote basi