Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Loll I've messed upI mean James Cameron
Loll I've messed upI mean James Cameron
Bado nabisha. Hakuna director anayeitwa David CameronDavid Cameron..notable works.
Acha ubishi...
- Titanic
- Avatar
😅😅😅😅Usisahau na mabomu 😂😂
Yeah ni kweli ni james..Bado nabisha. Hakuna director anayeitwa David Cameron
Juzi nilikuwa naangalia hiyo hiyo titanic sasa wakati movie imeisha nikasema huyu jamaa kumbe alidirect na hii movie nilikuwa sijui ni nani director.David Cameron..notable works.
Acha ubishi...
- Titanic
- Avatar
Leta na ule mtutu kama wa John Rambo 4 niuwewatu saiz.😅😅😅😅
I mean James Cameron
Mkuu unamfahamu Quentin Tarantino??Juzi nilikuwa naangalia hiyo hiyo titanic sasa wakati movie imeisha nikasema huyu jamaa kumbe alidirect na hii movie nilikuwa sijui ni nani director.
🙆♂️🙆♂️ Juzi nilikuwa naangalia trailer ya James Bond NO TIME TO DIE 2020 hapo.Good news ni kwamba May 21 mwaka 2021 Keanu Reeves ataachia muvi mbili kwa pamoja..ambazo zitakua ni...
- John Wick Chapter 4
- Matrix part 4
Before John Wick we had John Rambo 🤣🤣🤣🤣Good news ni kwamba May 21 mwaka 2021 Keanu Reeves ataachia muvi mbili kwa pamoja..ambazo zitakua ni...
- John Wick Chapter 4
- Matrix part 4
😂 taja movie bruv jina simfahamu labda nazijua movie zake tu.Mkuu unamfahamu Quentin Tarantino??
😂😂😂wavete na rambo.Before John Wick we had John Rambo 🤣🤣🤣🤣
Poleeee sana..Ukitaja ma-Director walitengeneza muvi zenye mkwanja mingiJuzi nilikuwa naangalia hiyo hiyo titanic sasa wakati movie imeisha nikasema huyu jamaa kumbe alidirect na hii movie nilikuwa sijui ni nani director.
Hadi manati naletaLeta na ule mtutu kama wa John Rambo 4 niuwewatu saiz.
And Johnny Sins tooBefore John Wick we had John Rambo 🤣🤣🤣🤣
James Cameron anastory za kufikirika na kusisimua zaidi.Poleeee sana..Ukitaja ma-Director walitengeneza muvi zenye mkwanja mingi
- Antony and Joe Rusdo (A.Endgame)
- James Cameron (Titanic &Avatar)
- J.J.Abrams (Star war. Force Awakens)
01:021251am
Sent using my Audi A62017 model
Mnashindana ku google tu laleniJames Cameron anastory za kufikirika na kusisimua zaidi.