JamiiForums Usiku wa manane
Jamaa naee mpuuzi sana
 

Attachments

  • unnamed.gif
    unnamed.gif
    867.1 KB · Views: 6
Wewe kweli kiboko kweli wewe mfuatiliaji...alimwambia mdingi wake hivyo wakati kanihisia na kifo cha jofrey
Hahahaaa yaani mm nikiona muvi nikaipenda hua nakariri dialogue yote..
Kama kwenye muvi ya Thor.Ragnarok naweza kuanza kuongea maneno kutoka mwanzo pale yupo na Surtur..kwa Grandmaster na scenes nyingine nilizopenda..
 
Back
Top Bottom