JamiiForums Usiku wa manane
Jamani jinamizi limeniingia mwilini ,kila nikitaka kuamka naona kitu kimenigandamiza kwa nguvu ,kinataka kuniingilia nikaanza kukemea ndo kimeniacha muda huu ,na Mr hayupo mpaka nimeogopa hii hali huwa inawakumba ?
 
Back
Top Bottom