Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Me. Nope!Mshaiona Cold Pursuit, Liam Neeson.
Me. Nope!Mshaiona Cold Pursuit, Liam Neeson.
Jaribu itafuta Ni muvi nzuri sanaMe. Nope!
Will do broh..Jaribu itafuta Ni muvi nzuri sana
Jinamizi ni nini?Jamani jinamizi limeniingia mwilini ,kila nikitaka kuamka naona kitu kimenigandamiza kwa nguvu ,kinataka kuniingilia nikaanza kukemea ndo kimeniacha muda huu ,na Mr hayupo mpaka nimeogopa hii hali huwa inawakumba ?
Jamani jinamizi limeniingia mwilini ,kila nikitaka kuamka naona kitu kimenigandamiza kwa nguvu ,kinataka kuniingilia nikaanza kukemea ndo kimeniacha muda huu ,na Mr hayupo mpaka nimeogopa hii hali huwa inawakumba ?



we mawenge hayoooSiku hz fiesta inafanyika temeke? Temeke sehemu gani? Usalama huko Upo?Fiesta inafanya temeke nzima hawalali leo hizi sio kelele ni hatar
Akikujb nitagJinamizi ni nini?
Naskia ni taifa ila ni kelel kwa kweliSiku hz fiesta inafanyika temeke? Temeke sehemu gani? Usalama huko Upo?
Duh ,OKNaskia ni taifa ila ni kelel kwa kweli
Yaani kama kiumbe cha ajabu kimeingia mwilini kinaniganda ,kila nikitaka kujinasua mwili unakuwa mzito mpaka nimekemea sana ndo mwili ukawa mwepesiJinamizi ni nini?
Hapana nipo serious hiyo hali imenipatawe mawenge hayooo
Kinafananaje hicho kiumbe cha ajabu ,pole sana aseeYaani kama kiumbe cha ajabu kimeingia mwilini kinaniganda ,kila nikitaka kujinasua mwili unakuwa mzito mpaka nimekemea sana ndo mwili ukawa mwepesi
Yaani sura huwa hakionekani unasikia tu mwili mzito na unajua kuna kitu kimekuganda ila huwa ni ngumu kukiona kabisaKinafananaje hicho kiumbe cha ajabu ,pole sana asee
MmmhYaani sura huwa hakionekani unasikia tu mwili mzito na unajua kuna kitu kimekuganda ila huwa ni ngumu kukiona kabisa