Dah! Wewe kweli umenishtua kitambo nasikia mziki nikawa sielewi unatokea wapi manake si kawaida.Fiesta inafanya temeke nzima hawalali leo hizi sio kelele ni hatar
Ni fiest dada hahaha mm mwanzo nilihisi bar ila kelele za bar nilipo hakuna akili ndo inarudi duniani nikakumbuka mshikoloDah! Wewe kweli umenishtua kitambo nasikia mziki nikawa sielewi unatokea wapi manake si kawaida.
Dada hii inaitwa sleeping paralysisYaani sura huwa hakionekani unasikia tu mwili mzito na unajua kuna kitu kimekuganda ila huwa ni ngumu kukiona kabisa
Kwamba watu wengi au ? Km huoni na uko uwanjani, njoo tujiunge na lindo0213 anaimba billnas anaimba bugana aiseee nskiliza bila kuona![]()
Nikashangaa au bar mpya imefunguliwa, manake sehemu nilipo huwa hakuna kelele piaNi fiest dada hahaha mm mwanzo nilihisi bar ila kelele za bar nilipo hakuna akili ndo inarudi duniani nikakumbuka mshikolo

Ni fiest dada hahaha mm mwanzo nilihisi bar ila kelele za bar nilipo hakuna akili ndo inarudi duniani nikakumbuka mshikolo
Kwa maelezo haya mnaishi maeneo hayo ,au siyoDah! Wewe kweli umenishtua kitambo nasikia mziki nikawa sielewi unatokea wapi manake si kawaida.
Nipo om mm nashusha movie hapa ila kelele zmetawala japo sio kwa karibu ila unamsikia msaanii vizuri tuKwamba watu wengi au ? Km huoni na uko uwanjani, njoo tujiunge na lindo
Tunalinda nn mkuuKwamba watu wengi au ? Km huoni na uko uwanjani, njoo tujiunge na lindo
Yani ngoja nikwambia alieko mbagala anaskia, buza,yombo vituka,buguruni, kigambni darajani mpaka mnadani wote wanaskia keko sijui kkoo, posta wanaskia woteKwa maelezo haya mnaishi maeneo hayo ,au siyo
Hahahahahahaha tuhamie bunju tu kama vpSahivi dogo janja kazi tunayo

Duh we si mwenzetu,endelea na fiestaTunalinda nn mkuu
NakaziaYani ngoja nikwambia alieko mbagala anaskia, buza,yombo vituka,buguruni, kigambni darajani mpaka mnadani wote wanaskia keko sijui kkoo, posta wanaskia wote
Cuz usiku sauti inapaa sana
Achape lapa..Duh we si mwenzetu,endelea na fiesta
Fiesta ningepasuka masikioDuh we si mwenzetu,endelea na fiesta
Ngoja ninywe pombe Tipsy hapa nitafute zigo tukamalizane ki utu uzimaYani ngoja nikwambia alieko mbagala anaskia, buza,yombo vituka,buguruni, kigambni darajani mpaka mnadani wote wanaskia keko sijui kkoo, posta wanaskia wote
Cuz usiku sauti inapaa sana