Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Sorry bana natania..Kwanini?
Hata hamna cha maana. Nilitaka kujua nyimbo uzipendazo
Sorry bana natania..Kwanini?
Nawaombea wale wote wanao mkejeli mwalimu JK Nyerere kwa kukiuka taratibu ili Mungu awarejeshe kwenye msitari.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Now nasikia Dua lipa dont start nowSorry bana natania..
Hata hamna cha maana. Nilitaka kujua nyimbo uzipendazo
Nataka zile unazopenda sana....Now nasikia Dua lipa dont start now
Na mimi naomba connection ili nibadilishe hii I'd maana inanikosesha mengi kwa wengi kudhani mimi ni ME![]()
Hahahaaa hata mm nilikua najua ni me.. wasiliana na Uongozi
Kumbe ww Ke?![]()
u have fooled us all, Ila bila shaka sasa huko pm Mambo ni
![]()
Kuna mwanamke mwenzio pia alinambia we ni ME
Leo ndo nimejua.. Why were you behaving like a man?



Ama kweli hili jina linanikosesha bahati katika hii jamii!
Zile zilishakifuNataka zile unazopenda sana....
Eg. Mimi napenda wimbo wa Sophie B Hawkins As I lay you down
Mwambie aache wivu asijekonda bure, maana "Wivu ni kidonda ukiushiriki unakonda"Nina mke ana wivu utadhani mwili umejaa wivu badala ya damu....dah
Hahahahaha Thad bwanaAma kweli hiki jina linanikosesha bahati katika hii jamii!
![]()
Now nasikia Dua lipa dont start now
Umeenda kufanya nini ugenini?Niko mpweke ugenini jf ndio itaniondolea upweke naruhusu niulizwe swali lolote linalonihusu nitasema kweli tupu Kama halitakuwa na madhara ya utambulisho wangu ila nitajibu nusu au robo ya ukweli Kama nikilihisi sio swali salama karibuni
Now Listening.
Runtown _ International badman killa
Mimi mkongwe kijana.. haya nasikiliza Bebe Rexha _ Last HurrahZile zilishakifu
Maroon 5 Memories
Muziki unatufanya tujisikie vyemaNaskiliza drive-black coffee & David Gueta ft Dalilah Montagu.
Sijajua ila nilisikia Trey songz ndo kapitaVanessa Mdee ashapigwa chata na huyu naskia
Vipi wewe hukuwahi kudhani kuwa mimi ni kidume?Hahahahaha Thad bwana

EnjoyMimi mkongwe kijana.. haya nasikiliza Bebe Rexha _ Last Hurrah
Lilipo Tupo (Lindo)Wazee wa lindo.....