Watu wananenepesha ng'ombe siku ya mnada😀Hua nacheka sana hizi mambo View attachment 1264765
Pande hizi nawanyima baridi tu😉Shwari kabisa.
Unatunyima nn pande hizo?
Kahawa yangu inakaribia kuisha ila sijaona kashata.
Kuna tofauti gani kati ya kuona na kuangalia?😉
Haya sis.Pande hizi nawanyima baridi tu😉
Oooh umechelewa kuingia lindoni hivyo hakuna share yako ya kashata, nitakuletea kesho😉😉😉
Amina mtumishi!Somo la leo kwa mujibu wa App yangu ya Bible.
1 WATHESANIKE 5;14
14 Ndugu, twawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.

Watu wananenepesha ng'ombe siku ya mnada![]()
Kuona seeKuna tofauti gani kati ya kuona na kuangalia?![]()
To watch and to see.Kuna tofauti gani kati ya kuona na kuangalia?😉
Acha kuangalia sana bwanaYashazoea.. sema kwenye jua ndio hus sioni vzuri
Nitakuwa nilimuomba Lucas Mobutu ila alininyima. Basi naomba unitumieHujawahi niomba kama sijasahau
Nitakuwa nilimuomba Lucas Mobutu ila alininyima. Basi naomba unitumie
Ungekua unaniweka bize nisingekua naangalia wajua navyovipenda lakiniAcha kuangalia sana bwana
Njema, natumai unaifurahia wkend yako hapo.
Shukrani sana kwa ufafanuzi murua kabisa.To watch and to see.
Kuona haupangi ila kuangalia unapanga na unakua umeweka akili yako kutathnini unachokiona.
Najua unajua tofauti zake.
#sijuiKamaNaeleweka😀
Uliniomba nini honey ? Sema nikupeNitakuwa nilimuomba Lucas Mobutu ila alininyima. Basi naomba unitumie
Akikugawia unigawie na mimiUsinisahau katika ufalme wako mkuu,
Zile dollars unigawie na mimi