JamiiForums Usiku wa manane
Eeeh,niliona kwa uzi wa mshana,huwezi amini ile thread watu ambao hawachangii ndio wasubilia picha,nilisubilia yako na nikaiona,nilivyoiona nikasema naam
Mavazi ya kistaarabu yapoje cognition?
 
Habari nawasalimu wazee wa mida mibovu, mnaonaje mlale ili msiamke na uchovu...

Nawatibua mkasirike mtokwe na povu, kiongozi wa doria kasinzia tayari yuko off

Hii ndio jf usiku wa manane, huburudisha masikini na walio na money..
 
Au siyo
Habari nawasalimu wazee wa mida mibovu, mnaonaje mlale ili msiamke na uchovu...

Nawatibua mkasirike mtokwe na povu, kiongozi wa doria kasinzia tayari yuko off

Hii ndio jf usiku wa manane, huburudisha masikini na walio na money..
 
Nyumbani kumenoga, nimepamiss humu, je wadau wote wazima humu,walinzi mpooo????
 
Back
Top Bottom