Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,218
- 41,803
Mavazi ya kistaarabu yapoje cognition?Eeeh,niliona kwa uzi wa mshana,huwezi amini ile thread watu ambao hawachangii ndio wasubilia picha,nilisubilia yako na nikaiona,nilivyoiona nikasema naam
Mavazi ya kistaarabu yapoje cognition?Eeeh,niliona kwa uzi wa mshana,huwezi amini ile thread watu ambao hawachangii ndio wasubilia picha,nilisubilia yako na nikaiona,nilivyoiona nikasema naam
Nisije kuwa nakuchanganya,maana mashuka magodoro yashegeuka kvant,inabidi nipitie upya.Mavazi ya kistaarabu yapoje cognition?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nisije kuwa nakuchanganya,maana mashuka magodoro yashegeuka kvant,inabidi nipitie upya.
Nitakuwa nakuchanganya kweli,nakumbuka picha yako upo kwa office na Mug kwenye meza Computer na kikaratasi kwa pembeni[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lazima unanichanganya
Hizo Sifa inabidi tu uzipokee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lazima unanichanganya
Habari nawasalimu wazee wa mida mibovu, mnaonaje mlale ili msiamke na uchovu...
Nawatibua mkasirike mtokwe na povu, kiongozi wa doria kasinzia tayari yuko off
Hii ndio jf usiku wa manane, huburudisha masikini na walio na money..
Karibu kundini05:10
Jana ilikuwa mtoroNipo ....