Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Nmekuja kwa kasTupo mbona leo unanitisha
Nmekuja kwa kasTupo mbona leo unanitisha
Kumbe ndo unajificha huku eeh?sasa ole wako usirudi kule kesho nakugeuza nyama chomaFather mtoto



Leo hii balaa kulikoni kuna usalama?Nmekuja kwa kas
Upo kabisaa naona watu ziiiiLeo hii balaa kulikoni kuna usalama?
Saa 6 - 9Hivi usiku wa manane unaanza saa ngapi na kuisha saa ngapi?
Amekuja kuitikia rokoo atarudiKumbe ndo unajificha huku eeh?sasa ole wako usirudi kule kesho nakugeuza nyama choma![]()
Nipo siwezi kukukimbiaKumbe ndo unajificha huku eeh?sasa ole wako usirudi kule kesho nakugeuza nyama choma![]()

Unaanza mida ya wangaHivi usiku wa manane unaanza saa ngapi na kuisha saa ngapi?

Nomaaa sana hadi alibakari au bando limemwishiaKuku wengi![]()
![]()
![]()
Ahaa kumbe, ndo mana kila nikienda kuwanga angani nakutana na mawimbi ya ajabu kumbe napishana na Mb's za watuSaa 6 - 9

Aisee, saivi itabidi nianze kuwanga usiku wa matisa, sababu kila nikichungulia dirishana naona mwanga wa simu naghairi.Unaanza mida ya wanga![]()
![]()
![]()
Ya kweli hayo???na relato ana karibia kurudi huku sasa...Nipo wifi shemeji yako hajambo naskia sikuhz kuna kimchepuko kinambana ndo mana haonekani tena mida hii![]()
Hukutani na MB bali maombi ya nguvu kutoka kwa waamini!Ahaa kumbe, ndo mana kila nikienda kuwanga angani nakutana na mawimbi ya ajabu kumbe napishana na Mb's za watu![]()
![]()

Unakuwa kakosea kuunga bando.Nomaaa sana hadi alibakari au bando limemwishia
InawezekanaUnakuwa kakosea kuunga bando.
Ameunga la usingiz badala ya la Mb.
