Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Hahaha yani katika vitu ambavyo siviogopi ni maombi ya usiku wa manane, kwanza waombaji wengi unakuta wamesinzia na wengine wako kwenye vifua na viuno vya watu wanaomba watotoHukutani na MB bali maombi ya nguvu kutoka kwa waamini!
Acha kuwanga badala yake uwe unakaa hapa kutulindia uzi wetu,vinginevyo siku si nyingi hayo mawimbi yatakudondosha uaibike bure...![]()
![]()
![]()


