Hili tetemeko ndiyo limenifanya nitembelee huu uzi saizi maana limeniamsha.
KhaaaaaaNikaona niwasalimie wapendwa
Khali yangu ni kama yenu
Ukanda wa kusini kama mbeya naskia hata huko tabora na kigoma limepita pia mida hiyo ya saa tisa za usiku.Wapi huko mkuu?
Dunia haijawahi kuwa mviringo aseeDunia ni mviringo huku mchana kule usiku
Yalishapita hayo usishangaeEeehhh
Nafunga lindo
Alihamdulillah sijamboDada yangu ukhuty uko poa?
Kumekucha rasmi
Apumzike kwa amani!View attachment 1202049Msiba wa bara zima la Afrika kwa wanao jielewa.. REST IN PEACE JONGWEE MUGABE..
Wa kwanza kulegalega ni weweOooo naona siku hizi walinzi wanalegalega sana.
Best naomba uniletee gahawaKumekucha rasmi
Dahhh.....Ameondoka na opena, inanibidi nufungulie tu meno...