LiNtwE lya kubiseUnataka zisimame?
Okay leo najitolea kuwa linda..Unaonaje Ukijitolea Kutulinda?
Mmbantu..Mimi sio mswahili
We mtu, upo duniani kweeeliiWellah! Wellaaaaaah!
Heee jamani. Nipo. Huko home hamjambo?We mtu, upo duniani kweeelii
Hata Mimi namtafuta huyo huyoNamtafuta Jj'es
Huku ni saa 04:08Be careful.
Ni saa ngapi huko nchi ya madhaifu?
Nani kamficha etiHata Mimi namtafuta huyo huyo
Huku hatujambo kabisaaa jamanii.... Ni udhaifu tuu unatusumbuaHeee jamani. Nipo. Huko home hamjambo?
Si mnaendekeza politiki. Naona hamuyaoni ya All BashirHuku hatujambo kabisaaa jamanii.... Ni udhaifu tuu unatusumbua
Ni kikundi cha wachahe tuu... Tunayaona sana tuu sema vichwa vigumu kuelewa!Si mnaendekeza politiki. Naona hamuyaoni ya All Bashir
Acha tu waendelee mkivurugana si tunarudi kupiga hela za utunzaji wa amani. Na hizo ni dolali. Kufa ndo kunageuka kufaana!Ni kikundi cha wachahe tuu... Tunayaona sana tuu sema vichwa vigumu kuelewa!