Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Oooh kumbe ni msumbufu eeh? Basi mwache asikusumbue bure, ila akiamka usisahau kumfikishia salamu zanguNikimwamsha sitalala ujue?
Mwache akiamka atakusalimia mwenyewe.
Oooh kumbe ni msumbufu eeh? Basi mwache asikusumbue bure, ila akiamka usisahau kumfikishia salamu zanguNikimwamsha sitalala ujue?
Mwache akiamka atakusalimia mwenyewe.
Hahahaaaaa unajidanganya my dear, ni heri adui umjuae kuliko adui usiyemjua.... Take care!Khaa
Whatever, nashukuru umepungua umeniondolea kiwingu
Oooh kumbe ni msumbufu eeh? Basi mwache asikusumbue bure, ila akiamka usisahau kumfikishia salamu zangu
Hahahaaa nimefurahi kumuona kule kwa bi shost natamani apite hapa kabla sijarudi mafichoniNaogopa hata kupumua hapa...nahisi amekusikia.
Naogopa hata kupumua hapa...nahisi amekusikia.
Unataka kusema nina adui nisiyemjua? Huna lolote we nenda tuHahahaaaaa unajidanganya my dear, ni heri adui umjuae kuliko adui usiyemjua.... Take care!
Waenda wapiNapita ....
Hivi waswahili wanapotumia neno "kupumua" huwa wanamaanisha kujamba/kunyamba au ?
Hapa huwa sipaelewi elewi.
Waenda wapi
Unataka kusema nina adui nisiyemjua? Huna lolote we nenda tu


Ipo siku utayakumbuka haya maneno yangu, japo nahofia utakuwa umeshachelewa. Vipi kaka zako hawajambo? Waambie nimewamiss
Mimi sio mswahili
Kama wewe umeamua kutafuta mwingine kaka zangu naomba achana nao kabisaIpo siku utayakumbuka haya maneno yangu, japo nahofia utakuwa umeshachelewa. Vipi kaka zako hawajambo? Waambie nimewamiss
![]()
Wewe ni mswahili ndio,kwa ada na desturi ukikaa mji au nchi zaidi ya miaka minne unanasibishwa na nchi hiyo. Haoa jibu sahihi useme tu kwamba "Hujui" ila usiukane uswahili wako.
Kama wewe umeamua kutafuta mwingine kaka zangu naomba achana nao kabisa
Leo kuna mtu aliniuliza hivi "Muda ni nini ?". Mimi nikamwambia "Muda ni kiumbe,na hakuna sehemu yoyote ambayo haina muda"
Sasa waungwana,je jibu langu ni sahihi au si sahihi ?
JI imehamia huku kumbe?