JamiiForums Usiku wa manane
Leo kuna mtu aliniuliza hivi "Muda ni nini ?". Mimi nikamwambia "Muda ni kiumbe,na hakuna sehemu yoyote ambayo haina muda"

Sasa waungwana,je jibu langu ni sahihi au si sahihi ?
 
Mimi sio mswahili

Wewe ni mswahili ndio,kwa ada na desturi ukikaa mji au nchi zaidi ya miaka minne unanasibishwa na nchi hiyo. Haoa jibu sahihi useme tu kwamba "Hujui" ila usiukane uswahili wako.
 
Back
Top Bottom