Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,211
- 40,655
Unahitajika haraka sana,rudiNarudi....
Unahitajika haraka sana,rudiNarudi....
Ngoja tuje tukuaresti hapoamsha popo naskliza kisingeli nimewasha sauti majiran wamekuja kunigombeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanategea,watoro wa lindo ,kamati ikae kujadili

Ndugai aje awatoe uvivu watoro hakuna aja ya kujadili.Kuna watu wanategea,watoro wa lindo ,kamati ikae kujadili
MTC | 101|![]()
mnogageKamwene popo mliopo lindo
Upo na huku? Nimeona nikufatilie nijihakikishe kuwa kweli wewe ni mlinzi wa usiku.Server inasumbua au ndio watu wasiojulikana wanafanya yao mda huu?.
Hahahaha,uvivu haufai lindoniNdugai aje awatoe uvivu watoro hakuna aja ya kujadili.


Unaingia lindo na lugha ya kihuni.Niajeni Wasee![]()
![]()
Haha ni slang tu ya mtaaUnaingia lindo na lugha ya kihuni.
Mtaa wa wapi huo mkuu.Haha ni slang tu ya mtaa