Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,623
Hakika liko vyema tujitahidi tu kuhudhuriaNdio hivyo wewe endelea kujifunza uje kunifunza mimi.....ndio utazidi kuelewa.
Nimelipenda lile darasa kusema ukweli
Hakika liko vyema tujitahidi tu kuhudhuriaNdio hivyo wewe endelea kujifunza uje kunifunza mimi.....ndio utazidi kuelewa.
Nimelipenda lile darasa kusema ukweli
Aaah kumbe Rungu spray😁😁😁 nilimaanisha Rungu la lindo mkuu
Hee mbona wanitishaNishaenda sana... naweza sema sasa nimechoka..
Toka 2013.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Pale unapoona mwanafunzi unayejua anamzidi mwalimu uwezo ndo hapo sasa.
Unaanza kuogopa atauliza maswali akuumbue.


mwanafunzi wa aina hiyo ni kumkimbia tu hakuna namnaAaah sawa kabisa, Rungu na Panga tu hapa mkuuHiyo hiyo Ndugu......
Hapa nalinda na mshale na upinde...rungu siwezi....
Aaah sawa kabisa, Rungu na Panga tu hapa mkuu
Sijafikia huko mkuu,natumia silaha za jadi tuNa sio AK47?
Hivi ndivyo vinanipa kampani.. nacheka nafurahi..
View attachment 1049440
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk


ya uongo hiiSijafikia huko mkuu,natumia silaha za jadi tu
mwanafunzi wa aina hiyo ni kumkimbia tu hakuna namna
Sawa mkuu,ila unaweza nisaidia nikaweza kutumia AK47 mkuu hizi silaha za jadi zimepitwa na wakatiSawa. ukimaliza kulamba mwiko...urudi kazini
😁😁😁😁
😁😁😁 pole sana mkuu ila ndo changamoto zenyeweNiliwahi kufundisha hesabu English Media moja, nika-calculate hesabu ya riba, dogo mmoja akanyoosha mkono, "That's wrong sir!".
Hapo kaangalia jibu la kwenye kitabu ambalo lilikosewa, maana swali liliuliza final amount ambapo ni riba+mtaji. Ila kitabu jibu wameweka riba tu.
Nilikoma kwenye kuelezea mpaka nikaeleweka.


pole kwa kweli.
Niliwahi kufundisha hesabu English Media moja, nika-calculate hesabu ya riba, dogo mmoja akanyoosha mkono, "That's wrong sir!".
Hapo kaangalia jibu la kwenye kitabu ambalo lilikosewa, maana swali liliuliza final amount ambapo ni riba+mtaji. Ila kitabu jibu wameweka riba tu.
Nilikoma kwenye kuelezea mpaka nikaeleweka.
Sawa mkuu,ila unaweza nisaidia nikaweza kutumia AK47 mkuu hizi silaha za jadi zimepitwa na wakati
inasisimua
pole kwa kweli.
Basi itapendeza kama kuna career developmentMpaka tukupeleke shule...kwa sasa endelea na hizo hizo
AbeeeSis..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk