Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,127
- 124,694
Hakika liko vyema tujitahidi tu kuhudhuriaNdio hivyo wewe endelea kujifunza uje kunifunza mimi.....ndio utazidi kuelewa.
Nimelipenda lile darasa kusema ukweli
Hakika liko vyema tujitahidi tu kuhudhuriaNdio hivyo wewe endelea kujifunza uje kunifunza mimi.....ndio utazidi kuelewa.
Nimelipenda lile darasa kusema ukweli
Aaah kumbe Rungu spray😁😁😁 nilimaanisha Rungu la lindo mkuu
Hee mbona wanitishaNishaenda sana... naweza sema sasa nimechoka..
Toka 2013.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23] mwanafunzi wa aina hiyo ni kumkimbia tu hakuna namnaPale unapoona mwanafunzi unayejua anamzidi mwalimu uwezo ndo hapo sasa.
Unaanza kuogopa atauliza maswali akuumbue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah sawa kabisa, Rungu na Panga tu hapa mkuuHiyo hiyo Ndugu......
Hapa nalinda na mshale na upinde...rungu siwezi....
Aaah sawa kabisa, Rungu na Panga tu hapa mkuu
Sijafikia huko mkuu,natumia silaha za jadi tuNa sio AK47?
[emoji23][emoji23][emoji23] ya uongo hiiHivi ndivyo vinanipa kampani.. nacheka nafurahi..
View attachment 1049440
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Sijafikia huko mkuu,natumia silaha za jadi tu
[emoji23][emoji23][emoji23] mwanafunzi wa aina hiyo ni kumkimbia tu hakuna namna
Sawa mkuu,ila unaweza nisaidia nikaweza kutumia AK47 mkuu hizi silaha za jadi zimepitwa na wakatiSawa. ukimaliza kulamba mwiko...urudi kazini
😁😁😁😁
😁😁😁 pole sana mkuu ila ndo changamoto zenyeweNiliwahi kufundisha hesabu English Media moja, nika-calculate hesabu ya riba, dogo mmoja akanyoosha mkono, "That's wrong sir!".
Hapo kaangalia jibu la kwenye kitabu ambalo lilikosewa, maana swali liliuliza final amount ambapo ni riba+mtaji. Ila kitabu jibu wameweka riba tu.
Nilikoma kwenye kuelezea mpaka nikaeleweka.
Niliwahi kufundisha hesabu English Media moja, nika-calculate hesabu ya riba, dogo mmoja akanyoosha mkono, "That's wrong sir!".
Hapo kaangalia jibu la kwenye kitabu ambalo lilikosewa, maana swali liliuliza final amount ambapo ni riba+mtaji. Ila kitabu jibu wameweka riba tu.
Nilikoma kwenye kuelezea mpaka nikaeleweka.
Sawa mkuu,ila unaweza nisaidia nikaweza kutumia AK47 mkuu hizi silaha za jadi zimepitwa na wakati
inasisimua
[emoji23][emoji23][emoji23] pole kwa kweli.
Basi itapendeza kama kuna career developmentMpaka tukupeleke shule...kwa sasa endelea na hizo hizo
AbeeeSis..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk