JamiiForums Usiku wa manane
kwema kabisa....nakuja unifundishe lugha iliyokujaga na meli...nasikia jana usiku kulikuwa na wazungu tupu humu ndani...nikakuona na wewe....

Kuna darasa Khantwe kafungua, ndo imebidi nijiunge baada ya kuamka kichwa kinanigonga jana.

Nilikuona ulipita kusalimia, sema darasa lina wanafunzi watukutu sana.
 
Back
Top Bottom