JamiiForums Usiku wa manane
Hawa waume zetu hawa sijui huwa wanakamatwa na mashetani gani, bora zingekua za kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole mkuu " .. Ukijiona unaishi maisha bila ya kukutana na changamoto " tambua kuwa wewe utakuwa tayari umeshakuwa mfu --, kwa namna yeyote ili binaadamu aweze kupiga hatua ya kufikia mafanikio anazihitaji mnoo changamoto ili ziweze kumpa hamasa ya kuweza kufikia malengo yake

Thomas Edison alipata shauku ya kugundua balbu baada ya kuona kuwa jamii inazongwa na mazingira yenye giza muda wote " (kwa namna 1 au nyingine giza ni sehemu ya changamoto) ambayo ili kuwa inasubiri utatuzi na bahati nzuri Thomas aliliona hilo akaitumia changamoto hiyo kama motisha ya kukamilisha malengo yake na hatimae malengo yake yakaleta manufaa katika dunia nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha acha hizo ... msimu hii hauna team tushio kabisa katika UEFA ...team nyingi zimeshuka viwango ...hata zile ambazo zilizo kuwa tishio zimekuwa na uwezo wa wastani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ilikua 0-0 Anfield. Bayern sio wakali kiivyo so Liverpool wajitahidi angalau kupata kagoli kamoja cha mapema basi itakua safari kwa Bayern maana wakijitahidi kusuluhu basi Liverpool watapita kwa goli la ugenini. Sioni Bayern ikifunga goli mbele ya VVD na Alisson.

Mane atatupia goli mbili mechi inaisha

0-2
 
Yeah ilikua 0-0 Anfield. Bayern sio wakali kiivyo so Liverpool wajitahidi angalau kupata kagoli kamoja cha mapema basi itakua safari kwa Bayern maana wakijitahidi kusuluhu basi Liverpool watapita kwa goli la ugenini. Sioni Bayern ikifunga goli mbele ya VVD na Alisson.

Mane atatupia goli mbili mechi inaisha

0-2
Aise " nausubiri huo mpambano kwa shauku kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa kwani ulikuwa unategemea kwamba nimezidi umri chalii !!! Kwanini kiboko sasa jamani !!
sikutegemea kama atakuwa amekuzidi. Kiboko kwa sababu tunajichanganya na watoto wa kuwazaa hadi wajukuu
 
Back
Top Bottom