JamiiForums Usiku wa manane
Dahh " itakuwa umeshinda Biko mkuu sio bure .... lazima itakuwa umeshakuwa mcharo ..

Maana sifa ya hivyo viumbe huwa vinanusa sehemu yenye pesa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sina madafu kihivo.Nina kikazi changu cha kawaida tu,Ila hulka yangu ni muungwana na mkimwa hivi.Nadhan ndiyo maana.Sina hata Uwezo wa kuhonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom