HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
....sijui...niambie
Itakuwa ni sawa na ajali tu .. mpango ni kufika safari ..hakuna anayeianza safari then akawa na matarajio ya kuanguka na gari njiani
Huyu nani tena !?View attachment 1026087
Mustadh mwengine huyu hapa.
Man city atafanya vizuri sanaTeam za Uingereza ni underdog tu
Zinabweka balaa lakini vitendo sifuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akaa safari ambayo hujui hata dereva anawaza nini kichwani, hujui anafikiria kutumbukiza mtoni, kugongesha kwenye mti, hujui mtaweka kituo wapi yaani shidaItakuwa ni sawa na ajali tu .. mpango ni kufika safari ..hakuna anayeianza safari then akawa na matarajio ya kuanguka na gari njiani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kuwaje mpaka ukakubali kuianza safari na dereva ambaye hana vigezo vinavyo stahiki .... hauoni kuwa hapo wewe abiria na dereva wote mtakuwa na matatizoAkaa safari ambayo hujui hata dereva anawaza nini kichwani, hujui anafikiria kutumbukiza mtoni, kugongesha kwenye mti, hujui mtaweka kituo wapi yaani shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa jamaa shemeji alikukimbia nini !?Nasema na wewe :
"Kutokuwepo kwako kuliniumiza mimi"