Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Wala msimshambulie huyo mzee, kama ilivyo ada mwenye kisu chenye makali ndio anakula nyama
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Kama hukutumia vyema ujana wako, basi uzeeni huna cha kufaidiHahaha mazoezi na kura vizuri ndio suluhisha mbadala...
Sikuwa na shida; na wala mi siyo kibaka bana. Nilikuwa nafuatilia tu maongezi (yetu) ya siku ileeee kwenye uzi uleeeeee...Kama uko poa basi ndo inavyopaswa kuwa na Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Sijambo, hahaa najilinda dhidi ya vibaka wageni ukibisha hodi unafunguliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampa kampa tenaView attachment 1026069
Uzee ni mwili tuu lakini matamanio yako [emoji439] pale pale. Hongera sana Juma Kapuya.. Nilicho penda Bibi kampenda bwana na Bwana kampenda bibi..
Amen bwana Shimba mimi niko salama salimini. Kikubwa uhaiSikuwa na shida; na wala mi siyo kibaka bana. Nilikuwa nafuatilia tu maongezi (yetu) ya siku ileeee kwenye uzi uleeeeee...Kama uko poa basi ndo inavyopaswa kuwa na Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Amen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]