Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Wala msimshambulie huyo mzee, kama ilivyo ada mwenye kisu chenye makali ndio anakula nyama
Hahaha mazoezi na kura vizuri ndio suluhisha mbadala...
Kama hukutumia vyema ujana wako, basi uzeeni huna cha kufaidiSikuwa na shida; na wala mi siyo kibaka bana. Nilikuwa nafuatilia tu maongezi (yetu) ya siku ileeee kwenye uzi uleeeeee...Kama uko poa basi ndo inavyopaswa kuwa na Tumshukuru MunguSijambo, hahaa najilinda dhidi ya vibaka wageni ukibisha hodi unafunguliwa
Sent using Jamii Forums mobile app



Kampa kampa tenaView attachment 1026069
Uzee ni mwili tuu lakini matamanio yakopale pale. Hongera sana Juma Kapuya.. Nilicho penda Bibi kampenda bwana na Bwana kampenda bibi..
Amen bwana Shimba mimi niko salama salimini. Kikubwa uhaiSikuwa na shida; na wala mi siyo kibaka bana. Nilikuwa nafuatilia tu maongezi (yetu) ya siku ileeee kwenye uzi uleeeeee...Kama uko poa basi ndo inavyopaswa kuwa na Tumshukuru Mungu![]()
Amen


