JamiiForums Usiku wa manane
Screenshot_20190219_040744.jpg

Mustadh mwengine huyu hapa.
 
Hahaha tamani niwe Mzee alafu nivute kitoto cha Twenty twenty.. Hahahaha akijitia wazimu kutafuta kile kudonge Gudi bayyee..
Utafikiri yeye ndiye wa kwanza kuoa mwali. Vijijini huko na hata mitaani huku Uswahilini ni mambo ya kawaida tu haya?

Rapist kama binti yuko under 18. Lakini kama yupo zaidi ya hapo; hawa ni watu wazima na wana haki ya kufanya wapendacho...
Sijasema hivyo kwasababu ya kuoa huyo binti ila hamkumbuki kashfa yake ya ubakaji iliyopigwa danadana ikaishia juu kwa juu?
 
Imethibitishwa kwamba binti aliyemuoa ni huyu huyu. Ameishi naye kwa miaka mitano...

View attachment 1026831
Well, the end doesn't justify the mean.

No one is above the law, justice must be served without any kind of partiality.

Let's close it. Mnaoamini mnasemaga God ata judge na ku serve justice.
 
Well, the end doesn't justify the mean.

No one is above the law, justice must be served without any kind of partiality.

Let's close it. Mnaoamini mnasemaga God ata judge na ku serve justice.

Kwenye ile kesi nadhani hata mahakamani hakufikishwa. Mambo yaliishia polisi (probably due to lack of evidence...)...I thus find the "No one is above the law" assertion too zealous, unnecessary and unfounded.
 
Back
Top Bottom