JamiiForums Usiku wa manane
haha nilikua nakunywa uji bana, asa akatokea mtu akaropoka ety raha ya kunywa uji ni kutingisha kikombe
nkaikumbuka na signature yako😀😀
now nko xcul.....ni break time
Unaelewa lakini maana halisi ya msemo huo?

(Halafu kumbe siyo usiku wa manane. Tunavunja kanuni ya uzi. Uje unijibu usiku wa manane na please njoo na simu ambayo ina full charge ).
 
Back
Top Bottom