Bwana Mrefu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 406
- 1,002
Valangati la juzi umelisahau nn arifuu!!? Watarudi tena ohoooTumetekana mimi na yeye kwa muda ila charge ikijaa tunarudi rasmi. Hapa saizi nimemwacha aende shule mimi nalala sasa.


"Utamu wa uji ni kutingisha bakuli"


