Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,850
- 51,557
Unaniangusha sasa, tangu nimeanza kuwafanyia watu usaili wewe ni mtu wa kwanza unajinyima sifa, wengine anajipiga masifa mengi mpaka unachanganyikiwa lipi ni la ukweliHuu nimeuotea tu,yaani kama umeniponyoka tu.
Huwa siko hivi chief.
Sent using Jamii Forums mobile app


