umetishaa mpaka time hii hujavuta shukaaa!!8:08 Wakuu kuaga wakati lindo limealika maua ai uungwana nami wacha nilikabizi kwenu..
Duh ngoja nitafute kamusi ili nielewe8:08 Wakuu kuaga wakati lindo limealika maua ai uungwana nami wacha nilikabizi kwenu..

Washasanda wengine
mbona mapema sanaWashasanda wengine
hapana kwenda sahivi 😂😂😂Nakuambia kila siku usile mbegu unaendelea kusisitiza tu.
Ngoja nikureport Tanzania Farmers Association![]()
😂😂😂😂system ipi tena iyoDuh kumbe huwa unaenda ku update system kabla ya kukucha?![]()
hapana kwenda sahivi
inatakiwa unipe mwezi mmoja ili Nianze Kuacha mdogo mdogo


Time ya kuchaji simu![]()
Hahaha we tuambie tu ukweli. Haitadhuru hatasystem ipi tena iyo
si tunasemea kuchaji simu jamani

teh teh naunga mkono hoja😀....Hahaha we tuambie tu ukweli. Haitadhuru hata![]()
Anatuficha atiteh teh naunga mkono hoja😀....

Hahahahah Huo Ndo ukweli, myb Kama unataka nidanganyeHahaha we tuambie tu ukweli. Haitadhuru hata![]()