Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,532
- 81,261
Yechu asee, naona unatudere tu tokea juzi. Off haiishi?Niaje chaliiyangu?

Yechu asee, naona unatudere tu tokea juzi. Off haiishi?Niaje chaliiyangu?

Kila siku nakuwa last man standing![]()
😂😂au ulifata magogo,ulikua huonekani kwa Muda uleEver present![]()
Yechu asee, naona unatudere tu tokea juzi. Off haiishi?![]()
Watabisha. Na vile nipo committed hata sijachukua off day.Kuna ukweli hapa

Hahaha kwaajili ya moto au? Hiyo sishauri maana ukisinzia utaungua. Bora uvae jacket au sweaterau ulifata magogo,ulikua huonekani kwa Muda ule
Watabisha. Na vile nipo committed hata sijachukua off day.![]()
Pole na hongera kwa majukumu. Tupo pamoja.Yaani....majukumu yananizidi
Inabidi mnizoee tu....ila huwa nachungulia kwa mbali
Captain uaingizi umempitia.. Lindo linahitaji kusajiri wachapakazi zaidi.chaliifrancisco captain sikuon😂😂😂
Saving Private Ryan...
Hahaha
Captain uaingizi umempitia.. Lindo linahitaji kusajiri wachapakazi zaidi.






