JamiiForums Usiku wa manane
Hawa wachina watumizia Dada zetu... Jana nilikuwa sokoni nikakutana na wafanyabiashara wa dawa za asili toka Senegal.. Tuliongea sana na walipenda maongezi lkn kitu nilicho chukia wamekuja kununua dawa za asili zikiwemo kuongea shep kwa Dada zetu... Nukuu toka niwe hapa sijawahi kumuona msichana wa kichina aliongeza shep yake....
Wengi wao wako kama mnavyowaona TZA..

Mambo haya ni magumu sana. Kuanzia mikorogo mpaka kwenye haya makalio ya bandia. Huko mbele y safari sijui itakuwaje.

Vipi huko kwao jamaa siyo wabaguzi sana? Jitahidi uonje nyama ya nyoka kabla hujarudi mkuu
 
Back
Top Bottom