JamiiForums Usiku wa manane
Hawa wachina watumizia Dada zetu... Jana nilikuwa sokoni nikakutana na wafanyabiashara wa dawa za asili toka Senegal.. Tuliongea sana na walipenda maongezi lkn kitu nilicho chukia wamekuja kununua dawa za asili zikiwemo kuongea shep kwa Dada zetu... Nukuu toka niwe hapa sijawahi kumuona msichana wa kichina aliongeza shep yake....
Wengi wao wako kama mnavyowaona TZA..
 
Hawa wachina watumizia Dada zetu... Jana nilikuwa sokoni nikakutana na wafanyabiashara wa dawa za asili toka Senegal.. Tuliongea sana na walipenda maongezi lkn kitu nilicho chukia wamekuja kununua dawa za asili zikiwemo kuongea shep kwa Dada zetu... Nukuu toka niwe hapa sijawahi kumuona msichana wa kichina aliongeza shep yake....
Wengi wao wako kama mnavyowaona TZA..
Huku wanasema mwanamke mwenye msambwanda anajiamini kuliko alieko na degree.

Kama zipo hebu nipe ramani niwe na mtaji kiasi gani niwauzie maana kama wanataka tufanyaje sasa?
 
Back
Top Bottom